Jumapili, 10 Mei 2015

MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU NDANI YA UDOM

YALIYOJIRI KATIKA MASHINDANO YA MPIRA WA  MIGUU CHSS-UDOM

  •         PSPA Waibuka mabingwa kwa kuwacharaza AMD 2-0

  •        Kwa upande wa shangwe AMD wamepagawishaaaaaaaaa!!!

    Na Ngallo Kasamallo .

    Mashindano ya mpira wa miguu yaliyoshirikisha Idara mbalimbali za skuli ya HUMANITIA & SAYANSI YA JAMII yamemalizika jana May 9 katika viwanja vya humanities, ambapo wanafunzi wa Idara ya Political Science & Public Administration (PSPA) waliibuka washindi dhidi ya wanafunzi wa idara ya Arts, Media &Design (AMD) mabao 2-0. 

    Licha ya kufungwa  wanafunzi wa AMD walionekana kuteka nyoyo za watu katika upande wa kimbembe (burudani).

    Hebu jioneee mwenyewe kwenye video hizi................. !!!!~

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni